Thursday, September 23, 2010

tegete aendelea kutikisa nyavu

ligi kuu bara imeendelea leo ktk kiwanja kimoja tu huko mjini m0rogoro,ilipokutanisha timu za yanga na kagera sugar..alikuw jerry tegete aliyoanza kuwanyanyua mashabiki wa timu hiyo..hadi dk90
kagera sugar0-2 Young african
tegete
boakye
waendeleza kuiweka yanga kileleni mwa ligi kuu ya vodacom tanzania

No comments:

Post a Comment